Umati wa watu waliojitokeza kumzikiliza Mbunge wa Monduli, ambaye pia ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa alipotangaza ni ya ku...
|
Umati wa watu waliojitokeza kumzikiliza Mbunge
wa Monduli, ambaye pia ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa alipotangaza ni
ya kugombea nafasi ya Urais kwa CCM kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid Karume
jijini Arusha leo. |
|
Umati wa watu waliojitokeza kumzikiliza Mbunge
wa Monduli, ambaye pia ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa alipotangaza ni
ya kugombea nafasi ya Urais kwa CCM kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid Karume
jijini Arusha leo. |
|
GARI La mtangaza nia ya kugombea nafasi ya uraisi kwa tiketi ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa likiwa nje ya viwanja vya Shikhe Amri Ameid Amani Karume alipowasili kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Arusha kabla ya kuhutubia mjini Arusha leo. |
|
Mtangaza nia ya kugombea nafasi ya uraisi kwa tiketi ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa akisalimiana na viogzi baada ya kuwasili kwenye kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Arusha kabla ya kuhutubia mjini Arusha leo. Pamoja naye ni Mke wake Mama Regina Lowassa. |
|
Mtangaza nia ya kugombea nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa akisaini kitabu cha wageni alipowasili kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Arusha kabla ya kuhutubia mjini Arusha leo. Pamoja naye (nyuma) ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa huo, Ndugu Onesmo Ole Nangole. |
|
Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa huo, Ndugu Onesmo Ole Nangole akiongea na Mtangaza nia ya kugombea nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa pamoja na ujumbe wake. |
|
Mtangaza nia ya kugombea nafasi ya uraisi kwa tiketi ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa akiwa na Mke wake Mama Regina Lowassa kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Arusha kabla ya kuhutubia mjini Arusha leo. |
|
Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa huo, Ndugu Onesmo Ole Nangole na Mtangaza nia ya kugombea nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa (waliokeki) pamoja na ujumbe wake.
|
|
A section of thousands of people who turned up at Sheikh Amri Abeid Stadium in Arusha to listen to the former Premier, Edward Lowassa declaring interest in vying for Presidential Position via Chama Cha Mapinduzi (CCM). |
|
Baadhi ya watu wakiingia uwanjani kumsikiliza mtangaza nia, Mtangaza nia ya kugombea nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa |
COMMENTS