Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Pangani, Saleh Pamba bungeni mjini Dodoma Aprili 1, 2015. (Picha na Ofisi ya...
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Pangani, Saleh Pamba
bungeni mjini Dodoma Aprili 1, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Naibu
Waziri Wizara Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Pindi Chana
akijibu swali la msingi la Mhe. Kidawa Salehe (Mb) Viti Maalum CCM
lililohoji juu ya Serikali imefanya utafiti gani juu ya sababu za
ukatili kwa watoto, Bungeni Mjini Dodoma 1 Aprili,2015.
Naibu
Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Mhe. Stephen Kebwe akijibu swali
la Mhe. Maryam Msabaha (Mb) Viti Maalum CHADEMA lililohusu serikali
inamikakati gani kuboresha Hospitali zetu wananchi wa vijijini waweze
kupata huduma hiyo kwa urahisi, Bungeni Mjini Dodoma.
Naibu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Mhe. Stephen Masele
akijibu swali la msingi la Mhe. Amina Makilagi (Mb) Viti Maalum CCM
lililohoji kuhusu serikali itatumia lini tafiti zilizofanyika zakutumia
nishati Mbadala, Bungeni Mjini Dodoma 1 Aprili, 2015 .
Naibu
Waziri Wizara ya Nishati na Madini Mhe. Charles Mwijage akijibu swali la msingi la Mhe. Moses Machali (Kasulu Mjini) lililohoji kuhusu utekelezaji
wa mradi wa umeme kutoka Mto Malagarasi ambao ulipaswa kutekelezwa kwa
kutumia fedha za MCC Bungeni Mjini Dodoma 1 Aprili, 2015.
Mbunge
wa Kisarawe (CCM) Mhe. Seleman Jafo akiwasilisha hoja binafsi kuomba
tarehe ya kura ya maoni isogezwe mbele na kupendekeza Serikali ipeleke
Muswada Bungeni wa hati ya dharura kupitisha Katiba ya mpito, Bungeni
Mjini Dodoma 1 Aprili, 2015 .
Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitoka nje ya ukumbi wa
Bunge Mjini Dodoma mara baada ya kuhairisha bunge kutokana na fujo
zilizozuka ndani ya bunge kutoka na kuwepo kwa mwingiliano wa hoja
binafsi kati ya Mhe. Seleman Jafo (Mb) CCM Kisarawe na Mhe. John Mnyika
(Mb) Ubungo CHADEMA Bungeni Mjini Dodoma 1 Aprili, 2015.
Baadhi
ya wabunge wakiwa nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma mara baada ya
Spika kuhairisha bunge kutokana na kuzuka kwa fujo Bungeni Mjini Dodoma 1
Aprili, 2015.
COMMENTS