MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI TUZO YA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI (EJAT) JIJINI DAR ES SALAAM.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi mfano wa Hundi ya Sh. Milion tatu na ...









Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi mfano wa Hundi ya Sh. Milion tatu na Laki Nane (M.3.8) mshindi wa jumla katika kinyang’anyiro cha Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari (EJAT), Mwandishi wa habari wa Gazeti la Mwananchi, Mkinga Mkinga, wakati wa hafla hiyo ya utoaji tuzo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, jana usiku Aprili 24, 2015. (Picha na OMR)


Dkt. Bilal, akimkabidhi Mfano wa hundi ya Sh. Milion tatu na Laki Nane (3.8) mshindi wa jumla, Mkinga, wakati wa hafla hiyo. Kushoto ni Rais wa Baraza la Habari Tanzania, Jaji Mstaafu Robert Mihayo na Generali Ulimwengu


Mpiga Picha wa kampuni ya The Guardian Limited, Halima Kambi, akipokea tunzo ya mshindi wa pili wa mpiga picha bora 


Dkt. Bilal na washindi wote.


Richard Makore, wa Nipashe (kulia), akipokea tuzo ya makala bora ya masuala ya jinsia


Mhariri mshiriki wa Nipashe, Ramadhan Mbwaduke,(kulia), akipokea tuzo ya uandishi bora wa masuala ya utawala bora, Kutoka kwa Meneja Mahusiano wa Benki ya NMB, Vincent Mnyanyika.


Mwandishi wa makala wa The Guardian, Marcel Gerald Kitabu,(kulia),  akipokea tuzo ya uandishi bora wa habari za mazingira


Mwandishi wa habari za michezo wa Nipashe, Sanula Athanas, (kulia), akipokea tuzo ya uzandishi bora wa michezo


Dkt. Bilal, akihutubia










Hamisi Suleiman wa Channel Ten (kulia), akipokea tuzo ya uandishi wa habari za TV, Kutoka kwa Meneja Uhusiano wa Benki ya NMB, Rukia Mtingwa.


Humphrey Shayo Mpigapicha wa Kampuni ya the New Habari 2006, akipokea cheti cha kutambuliwa wakati wa hafla hiyo.






Makamu wa Rais Dk Bilal akimkabidhi, Mwandishi Mkongwe wa Gazeti la The Citizen Lucas Liganga baada kuibuka pia mshindi katika kinyangayiro hicho. Kulia ni Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI TUZO YA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI (EJAT) JIJINI DAR ES SALAAM.
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKABIDHI TUZO YA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI (EJAT) JIJINI DAR ES SALAAM.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiAvC9F-bCHzVVmialfewJF8-pI5tqDMkXh9DFvD5CW3vO7RGMs30v8nhtjpC_kG5Inik8MBV6-dxtxo-Kb1LetW8mrg8C45Zr-A0UgZ5GhccHVc5OsYseGB35VgUl-MpMXqFQrJLc_uLg/s1600/EJAT2014+(2).jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiAvC9F-bCHzVVmialfewJF8-pI5tqDMkXh9DFvD5CW3vO7RGMs30v8nhtjpC_kG5Inik8MBV6-dxtxo-Kb1LetW8mrg8C45Zr-A0UgZ5GhccHVc5OsYseGB35VgUl-MpMXqFQrJLc_uLg/s72-c/EJAT2014+(2).jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2015/04/makamu-wa-rais-dkt-bilal-akabidhi-tuzo.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2015/04/makamu-wa-rais-dkt-bilal-akabidhi-tuzo.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy