Wanachama wa Chama cha wenye Albinism Tanzania (TAS) wakielekea Mtaa wa Magogoni muda mchache kabla ya kuzuka tafrani kati yao na ...
Wanachama wa Chama cha wenye Albinism Tanzania (TAS) wakielekea Mtaa wa Magogoni muda mchache kabla ya kuzuka tafrani kati yao na Mwenyekiti wao, Ernest Kimaya. |
Ernest Kimaya Mwenyekiti wa Chama cha wenye Albinism Tanzania (TAS) akiongea na wana habari kabla kuzuka tafrani kati yake na Nuru Chagutu kwenye Mtaa wa Magogoni Dar es Salaam leo. |
Baadhi ya watu wakijaribu kuzuia vurugu zisitokee. |
Baadhi ya kupandwa na hasira Mwenyekiti alijiweka kwenye wakati mgumu baadhi ya wanachama wenzake walipotibuka na kuanza kumshambulia na kuokolewa na watu wapendao amani. |
Rais Dk Jakaya Kikwete akifanya mazungumzo na viongozi na baadhi ya wawakilishi wa TAS baada ya kupewa fursa hiyo Ikulu Dar es Salaam leo. |
Rais Dk Jakaya Kikwete akisalimiana na viongozi na baadhi ya wawakilishi wa TAS kabla ya kufanya mazungumzo nao Ikulu Dar es Salaam leo. |
Rais Dk Jakaya Kikwete akisalimiana na Ernest Kimaya Mwenyekiti wa Chama cha wenye Albinism Tanzania (TAS) Ikulu Dar es Salaam leo. |
COMMENTS