Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Baraza la Vyuo Vik...
|
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Baraza la Vyuo Vikuu vya Afrika
Mashariki, waratibu wa mkutano Mkuu wa Sita wa majadiliano ya kukuza maendeleo
endelevu ya mifumo ya Elimu ya Juu na Maendeleo ya Kiuchumi. Mkutano huo
ulifunguliwa leo Machi 31, 2015 kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es
Salaam. |
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akifungua rasmi mkutano Mkuu wa Sita wa majadiliano wa Baraza la Vyuo
Vikuu vya Afrika Mashariki (IUCEA) wenye lengo la kukuza maendeleo endelevu ya
mifumo ya Elimu ya Juu na Maendeleo ya Kiuchumi, uliofanyika leo Machi 31, 2015
kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam. |
|
Baadhi ya
washiriki wa mkutano huo wakiwa kwenye ukumbi wa JNICC,
baada ya kufunguliwa rasmi, leo Machi 31, 2015. |
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya
pamoja na washiriki wa mkutano huo baada ya kufunguliwa rasmi leo kwenye Ukumbi JNICC Dar es Salaam.
|
|
Baadhi ya
washiriki wa mkutano huo wakiwa kwenye ukumbi wa JNICC,
baada ya kufunguliwa rasmi, leo Machi 31, 2015. |
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya
pamoja na washiriki wa mkutano huo baada ya kufunguliwa rasmi leo kwenye Ukumbi JNICC Dar es Salaam.
|
|
Baadhi ya
washiriki wa mkutano huo wakiwa kwenye ukumbi wa JNICC,
baada ya kufunguliwa rasmi, leo Machi 31, 2015. |
|
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya
washiriki wa mkutano huo wakati akiondoka kwenye ukumbi wa JNICC,
baada ya kuufungua rasmi, leo Machi 31, 2015. (Picha na OMR)
|
COMMENTS