Makamu wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal akizungumza jambo na Rais wa Zimbabwe, Mh. Robert Mugabe mara baada ya kuwasili k...
Makamu
wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal akizungumza jambo na Rais wa Zimbabwe, Mh. Robert
Mugabe mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA, mapema Machi 28 2015. Rais Mugabe anatarajiwa kufungua Kongamano la Viongozi
Vijana wa Afrika na China mjini Arusha.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiteta jambo na
Rais wa Zimbabwe, Mh. Robert Mugabe mara baada ya kuwasili kwenye uwanja
wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA. Rais Mugabe anatarajiwa kufungua
Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China mjini
Arusha.
Makamu
wa Rais Dk Mohammed Gharib Bilal akimpomkea mgeni wake, Rais wa Zimbabwe, Mh. Robert Mugabe mara baada ya kuwasili katika uwanja wa KIA. Rais Mugabe anatarajiwa kufungua Kongamano la
Viongozi Vijana wa Afrika na China mjini Arusha.
Baadhi
ya Wanahabari wakihangaika kupata taswira ya kuwasili kwa Rais wa
Zimbabwe Robert Mugabe ambaye alipokelewa na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib
Bilal na viongozi mbalimbali wa Kitaifa na Kidini.
Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe akiwasili
kwenye uwanja wa KIA. Rais Mugabe anatarajiwa kufungua Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China mjini Arusha.
kwenye uwanja wa KIA. Rais Mugabe anatarajiwa kufungua Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China mjini Arusha.
Rais Robert Mugabe akiongea jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana. Kulia ni Makamu wa Rais Drkt. Mohammed Gharib Bilal. |
COMMENTS