Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiwa na Rais wa Kwanza wa Zambia ambaye pia ni Mwanzilishi wa Taifa hilo, Mzee Kenneth Kaunda mara baada ...
|
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiwa na Rais wa Kwanza wa Zambia ambaye pia ni Mwanzilishi wa Taifa hilo, Mzee
Kenneth Kaunda mara baada ya kumtembelea na kufanya naye mazungumzo Nchini humo leo.
|
|
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua katika
kaburi la mke wa Rais wa Kwanza wa Zambia Mama Betty Mutinkhe Kaunda huko
Mkango Barracks, State lodge, nje ya jiji la Lusaka leo.
|
|
Rais wa Kwanza wa Zambia Dkt. Kenneth Kaunda akimkaribisha
nyumbani kwake Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete huko kijijini kwake Mkango
Barracks, State Lodge nje ya jiji la Lusaka leo Dkt. Kaunda ambaye alimwalika
Rais Kikwete alifanya naye mazungumzo.
|
|
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha wageni
nyumbani kwa Rais wa Kwanza wa Zambia Dkt. Kenneth Kaunda (aliyesimama
akiangalia) leo wakati alipomtembelea mwasisi wa taifa hilo.
|
|
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Rais
wa kwanza wa Zambia Dkt. Kenneth David Kaunda nyumbani kwake Mkango
Barracks, State lodge, nje ya jiji la Lusaka leo.
|
|
Rais wa Kwanza wa Zambia Dkt.Kenneth Kaunda akimpa zawadi Rais
Dkt. Jakaya Kikwete.
|
|
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiagana na Rais wa Kwanza wa Zambia na Mwanzilishi wa Taifa hilo, Mzee
Kenneth Kaunda mara baada ya kumtembelea na kufanya naye mazungumzo leo.
|
|
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais wa Zambia
Edgar Lungu pamoja na wake zao Mama Salma Kikwete na Mama Esther Lungu
wakinyanyua glasi juu wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya
Rais Kikwete na ujumbe wake ambao walifanya ziara ya kikazi ya siku mbili
nchini Zambia.
|
|
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Edgar Lungu wa
Zambia wakigonga glasi wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoiandaa kwa heshima ya
Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.
|
|
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na Rais wa Kwanza wa
taifa la Zambia Dkt. Kenneth Kaunda wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa
kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni. Rais Kikwete
ambaye alikuwa katika ziara ya siku mbili nchini Zambia tayari amerejea jijini
Dar es Salaam. (Picha
na Freddy Maro)
|
COMMENTS