WAZIRI MKUU PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA - LONDON. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitia saini kitabu cha wageni baada ya kuwasili kwen...
WAZIRI MKUU PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA - LONDON.
|
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitia saini kitabu
cha wageni baada ya kuwasili kwenye ubalozi wa Tanzania nchini
Uingereza uliopo mjini London kabla ya kuzungumza na watanzania Julai
11, 2014. Kushoto ni Mkewe Tunu Pinda, na Kaimu Balozi wa Tanzania
nchini Uingereza, Carol Chipeta (kulia).
|
|
Baadhi ya Watanzania waliohudhuria mkutano kati yao na
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza
uliopo mjini Londoni Julai 11, 2014 wakimsikiliza Waziri Mkuu wakati
alipowahutubia.
|
|
Baadhi ya Watanzania waliohudhuria mkutano kati yao na
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza
uliopo mjini Londoni Julai 11, 2014 wakimsikiliza Waziri Mkuu wakati
alipowahutubia.
|
|
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na watanzania
kwenye Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza mjini London, Julai 11,
2014. |
|
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya Waliohudhuria
katika mkutano kati yake na Watanzania kwenye ubalozi wa Tanzania
mjini Londoni Julai 11, 2014. |
|
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na
mkewe Tunu (kushoto kwake) wakiwa
katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano kati yake na
watanzania kwenye ubalozi wa Tanzania mjini London Julai 11, 2014. |
|
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Mkewe Tunu
(kushoto) na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Carol Chipeta
wakizungumza na Shima Kombe baada ya mkutano kati ya Waziri Mkuu na
Watanzania kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo London
Julai 11, 2014. |
|
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe Tunu
(kushoto) wakizungumza na Shima Kombe baada ya mkutano kati ya Waziri
Mkuu na Watanzania kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo
London Julai 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
COMMENTS