AJALI YA KUTISHA DEREVA AFA PAPO HAPO Ajali mbaya na ya kutisha imetokea leo alfajiri katikati ya madaraja mawili ya chuma yaliy...
AJALI YA KUTISHA DEREVA AFA PAPO HAPO
Ajali mbaya na ya kutisha imetokea leo alfajiri katikati ya madaraja
mawili ya chuma yaliyoko eneo la Kawe pembeni ya kambi ya JKT Mlalakuwa,
Dar es Salaam.
Ajali hiyo mbaya iliyotokea na kusababisha dereva kupoteza maisha na katika moja ya
madaraja hayo, ilitokea wakati dereva huyo akiwa kwenye mwendo wa kasi na
kushindwa kulimudu gari hilo aina ya Toyota Celica GTR lenye namba za
usajili T220 ABL na kuingia kwenye ukingo wa daraja, kisha kutumbukia kwenye mto unaopeleka maji baharini.
Maiti ikiwa kwenye maji taka asubuhi wakati ajali hiyo ilipotokea. |
Juu na Chini: Mabaki ya gari liliopata ajali likitolewa na break down. (Haipo Pichani) leo asubuhi |
Mmoja wa mashuhuda akitoa vipande vya nguo katika sehemu ya nyuma ya gari hilo kama alivyokutwa. |
Chini ni sehemu ya kioo cha mbele kilicho haribiwa vibaya na kubaki na sehemu ya damu. |
MOJA YA CHANGAMOTO KUBWA KWA MFALME WA PORI NI KUKAMATA KITOWEO. MASKINI SIMBA HUYO MAKUBWA YALIMKUTA BAADA YA HESABU ZAKE KWENDA KOMBO NA ATHARI YAKE AKAAMBULIA KIPIGO KIKALI KUTOKA KWA NYATI, HAPA HAKUNA NI KUFA NA KUPONA.
THIS lion is flipped several metres into the air by a charging buffalo trying to save the life of another herd member.
Two young lions had been silently stalking the buffalo for about 45 minutes when one finally made its move - but the predator was so focused on bringing down his prey that he left himself open to a surprise attack.
The astonishing images of the buffalo bull's daring rescue mission were captured by Ian Matheson, 52, during an early morning game drive with his son Oliver, 16, and two of his friends Yaseen Majal, 17, and Alex Raubenheimer, 17, in the Mjejane Reserve on the border of the Kruger National Park in South Africa.
COMMENTS